Uanachama Wa #BaruaYaChahali
Ujumbe huu hauwahusu waliokwishajiunga na uanachama.
Kwa minajili ya kukumbushana tu, kesho Juni 30, 2019 itakuwa siku ya mwisho kuwa mwanachama wa #BaruaYaChahali ambayo sasa inajumuisha vijarida vitano. Naomba ujumbe huu usitafsiriwe kama shinikizo kwa ambao hamjachukua hatua ya kujiunga bali ni kukumbushana tu.
Further details

Kwa anayejiskia kuwa mwa…