Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Twajua Magufuli Ni Dikteta Kamili. Tusichojua CDM, ACT Wana Mkakati Gani Kumng'oa

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jun 24, 2020
∙ Paid
1
Share

Kwa mara nyingine, jana Magufuli ameonyesha tena rangi yake halisi kuwa ni mtawala dikteta asiyeona aibu kukandamiza demokrasia na haki za binadamu.

Kwa upande mmoja, kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe alikamatwa kwa “kosa la kufanya mkutano halali wa ndani wa chama hicho” huko Lindi.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture