Kwa mara nyingine, jana Magufuli ameonyesha tena rangi yake halisi kuwa ni mtawala dikteta asiyeona aibu kukandamiza demokrasia na haki za binadamu.
Kwa upande mmoja, kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe alikamatwa kwa “kosa la kufanya mkutano halali wa ndani wa chama hicho” huko Lindi.

