Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu Atikisa Mahakama Kuu, Afichua Serikali Kufoji Nyaraka Kuhusu Mwenendo Wa Kesi Hiyo

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Sep 09, 2025
∙ Paid
Share

🌐 Muhtasari

Jana 8 Septemba 2025, Mahakama Kuu ya Tanzania (Masjala Kuu, Dar es Salaam) ilisikiliza kesi ya awali ya Mh. Tundu Lissu, anayekabiliwa na shtaka la uhaini chini ya Kesi ya Jinai Na. 19605/2025. Hii ni kesi ya tatu tu ya uhaini katika historia ya Tanzania, baada ya zile za mwaka 1970 na 1983.

Licha ya kuwa mahabusu kwa siku 153, Lissu alifika mapema mahakamani huku akipokelewa na umati mkubwa wa wafuasi, viongozi wa upinzani, mabalozi wa kigeni, na mawakili zaidi ya 50. Serikali ilipiga marufuku waandishi wa habari kurekodi na pia ikakataza matumizi ya simu mahakamani kwa "usalama".

Makala hii iliyotafsiriwa kutoka lugha ya Kiingereza kutoka kijarida-dada cha Ujasusi Blog inakueleza kila unachohitaji kufahamu kuhusu mwenendo wa kesi hiyo hapo jana na mustakabali wake huko mbeleni

📆 Matukio Muhimu

🎙️ 1. Lissu Akataa Wakili wa Mahakama

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture