[#TumiaVPN]: Unakaribishwa Kujiunga Chaneli Yangu Ya YOUTUBE, Nimekuandalia Tathmini Ya Dk 6 Tu Ya Mwenendo wa Kampeni za JPM,Lissu,Membe,Dkt Mwinyi Na Maalim Seif
Baada ya kupokea ushauri kutoka kwa wadau mbalimbali, nimeonelea ni vema “kuhuisha” chaneli yangu ya YouTube ambayo niliianzisha mwaka 2017 ila ni kama “niliitelekeza.”
Tafadhali angalia “video hii ya kwanza baada ya uzinduzi mpya wa chaneli”