Barua Ya Chahali

Share this post
Tuhuma Nzito Za Ufisadi Dhidi Ya "Waziri Mpendwa" Wa Magufuli
www.baruayachahali.com

Tuhuma Nzito Za Ufisadi Dhidi Ya "Waziri Mpendwa" Wa Magufuli

Ni Wazi Kuwa Jiwe Anajua Tuhuma Hizi, Na Sababu Pekee Hajachukua Hatua Ni Kuwa Waziri Anapokea Maagizo Yake

Evarist Chahali
Jan 9, 2020
Share this post
Tuhuma Nzito Za Ufisadi Dhidi Ya "Waziri Mpendwa" Wa Magufuli
www.baruayachahali.com

Desemba 31, mwaka jana Rais John Magufuli akiwa mapumzikoni katika Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo mkoani Geita aliwapa siku tano viongozi hao kupatana, vinginevyo angetengua uteuzi wao.

Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini kuwa chanzo cha ugomvi huo ni matumizi mabaya ya fedha unaofanywa na Waziri Kigwangalla, kupitia ‘utangazaji utalii’.

Mion…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing