Teknolojia Inavyoweza Kukusaidia Kujua Ukweli wa "Kutekwa" Kwa Msaidizi Wa Membe
Tukio Hilo Ni "Changa La Macho"
Katika toleo la sita la kijarida cha #ChahaliNaTeknolojia - ambalo limetumwa kwa wanachama waBaruaYaChahali - mtumishi wako anaelezea kuhusu “changa la macho” la tukio la “kutekwa” kwa msaidizi wa Membe, kijana aitwaye Alan Kiluvya, na jinsi teknolojia inavyosaidia kuthibitisha kuwa tukio hilo ni maigizo.
Unaweza pia KUBONYEZA HAPA kusoma comments mbalimbali kuhusiana na video hiyo.
Ndimi mtumishi wako,
Evarist Chahali
Create your profile
Only paid subscribers can comment on this post
Check your email
For your security, we need to re-authenticate you.
Click the link we sent to , or click here to sign in.