Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Tathmini ya kiintelijensia: kuna tatizo mtoto wa Rais (Mama Samia) kukutana na Rais Museveni Ikulu Uganda?
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Simulizi za Jasusi

Tathmini ya kiintelijensia: kuna tatizo mtoto wa Rais (Mama Samia) kukutana na Rais Museveni Ikulu Uganda?

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Aug 13, 2023
∙ Paid

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Tathmini ya kiintelijensia: kuna tatizo mtoto wa Rais (Mama Samia) kukutana na Rais Museveni Ikulu Uganda?
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share

Jana Rais Yoweri Museveni alitwiti kuhusu mkutano wake na Abdul Halim Hafidah Ameir.

Tafsiri

Nilikutana na Mheshimiwa Abdul Halim Hafidah Ameir na ujumbe wake kutoka Tanzania. Tulijadili ushirikiano wa siku za usoni katika eneo la Nishati, hasa njia ya umeme kutoka Mutukula hadi Mwanza, ambayo itaongeza usambazaji katika eneo hilo, na kusababisha maendeleo kwa Uganda na Tanzania.

Pia nilikubali pendekezo la wajumbe la kuendelea na kutengeneza mtambo wa kuzalisha umeme wa jua wa Megawati 20 katika wilaya ya Nwoya, karibu na kituo kidogo cha Olwiyo. Umeme huu utahamishwa kwenye gridi kuu na huko hatutakuwa tena na masuala ya umeme katika eneo hilo.

Kama huijui vema familia ya Rais Samia Suluhu basi utambue kuwa Abdul ni mwanae.

Baada ya twiti ya Rais Museveni na picha hizo akiwa na Abdula kusambaa, kukaibuka mjadala mzito huku baadhi ya watu wakihoji mtoto huyo ameenda Uganda kukutana na Rais Museveni kama nani.

Baadhi wakaenda mbali zaidi na “kuingiza habari za DP World” alimradi kuna mengi yaliyosemwa kuhusiana na tukio hilo.

Je ni tatizo kwa mtoto huyo wa Rais kukutana na Rais Museveni huko Uganda? Tathmini hii inatoa majibu yenye sura mbili. Moja ya “kiraia” na nyingine ya kiintelijensia.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More