Jana Agosti 24, Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) lililtoa tamko la kuunga mkono mkataba wa bandari sambamba na kumuunga mkono Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwenye tamko lake la “kukemea kuchanganya dini na siasa” na wakati huohuo kulishutumu Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) lililopinga mkataba huo.
Kabla ya kuingia kwenye tathmini hii, soma tamko hilo la BASUTA






