Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Tathmini fupi ya kiintelijensia kuhusu kukamatwa kwa Tundu Lissu jana na mustakabali wa maridhiano kati CCM na Chadema na siasa za Tanzania kwa ujumla

Tathmini fupi ya kiintelijensia kuhusu kukamatwa kwa Tundu Lissu jana na mustakabali wa maridhiano kati CCM na Chadema na siasa za Tanzania kwa ujumla

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Sep 11, 2023
∙ Paid
1

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Tathmini fupi ya kiintelijensia kuhusu kukamatwa kwa Tundu Lissu jana na mustakabali wa maridhiano kati CCM na Chadema na siasa za Tanzania kwa ujumla
1
1
Share

Kilichojiri: jana, Makamu Mwenyekiti wa Chadema na mgombea urais kupitia chama hicho katika Uchaguzi mkuu wa 2020, Tundu Lissu alikamatwa na Jeshi la Polisi.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha, Lissu alikamatwa jana Karatu Arusha, alikokuwa anatarajiwa kufanya mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya Mazingira Bora.

Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi, Lissu, mbunge wa zamani na mwanasheria, ambaye aliwahi kunusurika kuuawa kwa kupigwa risasi 16 miaka 6 iliyopita anatuhumiwa kwa makosa mawili; kufanya mikusanyiko bila kuwa na vibali na kuzuia Polisi kufanya kazi yao.

Kwa mujibu wa viongozi wa CHADEMA, kabla ya kumamatwa kwa Lissu, hoteli aliyofikiwa kiongozi huyo inayoitwa Ngorongoro na nyingine ya Panorama huko Karatu zilizingirwa na Polisi.

Hata hivyo baadaye Lissu na wenzake waliachiwa kwa dhamana kama anavyoeleza mwenyewe kwenye video hii hapa chini

Tathmini ya kiintelijensia

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share