Barua Ya Chahali

Share this post

Tanzania Mbili: Ya Kusadikika Na Halisia

www.baruayachahali.com

Tanzania Mbili: Ya Kusadikika Na Halisia

Hakuna Taifa Lililofanikiwa Kimaendelo Likiwa Katika Mpasuko Kama Uliopo Sasa

Evarist Chahali
Jul 8, 2019
5
Share this post

Tanzania Mbili: Ya Kusadikika Na Halisia

www.baruayachahali.com

Kabla ya kuingia kwenye mada ya leo, naomba kutumia fursa hii kumshukuru Mungu maana chupuchupu mtumishi wako ningekuwa marehemu muda huu. Nilikoswakoswa Ijumaa asubuhi na pia usiku wa juzi kuamkia jana. Kitu kimoja kuhusu mabalaa kama haya ni kwamba hata yakitokea mfululizo, hayazoeleki.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing