Katika hotuba yake kwa taifa kuaga mwaka 2021 na kuukaribisha mwaka 2022, Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, na mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Mheshimiwa Tundu Lissu, alieleza kuwa yeye aliyepo Ubelgiji kwa sasa, na kiongozi mwenzie wa chama hicho, Mheshimiwa Godbless Lema, aliyepo Canada, watarejea Tanzania…
Substack is the home for great culture


