Barua Ya Chahali

Share this post

Tamko la Lissu Kuwa Yeye na Lema Watarejea Tanzania Mwezi Machi Linamaanisha Masharti Aliyoipa Serikali Kuhusu Usalama Wake Yametimizwa?

www.baruayachahali.com

Tamko la Lissu Kuwa Yeye na Lema Watarejea Tanzania Mwezi Machi Linamaanisha Masharti Aliyoipa Serikali Kuhusu Usalama Wake Yametimizwa?

Evarist Chahali
Jan 3, 2022
Share this post

Tamko la Lissu Kuwa Yeye na Lema Watarejea Tanzania Mwezi Machi Linamaanisha Masharti Aliyoipa Serikali Kuhusu Usalama Wake Yametimizwa?

www.baruayachahali.com

Katika hotuba yake kwa taifa kuaga mwaka 2021 na kuukaribisha mwaka 2022, Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, na mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Mheshimiwa Tundu Lissu, alieleza kuwa yeye aliyepo Ubelgiji kwa sasa, na kiongozi mwenzie wa chama hicho, Mheshimiwa Godbless Lema, aliyepo Canada, watarejea Tanzania…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing