Majuzi niliweka rai kwa wanaomjua Didier Abdallah Mlawa aka Kigogo wawasilishe taarifa zake. Nafarijika kueleza kuwa taarifa zimeanza kumiminika. Kwa kuanzia ni taarifa hii niliyoipata jana usiku.
Mtoa taarifa alianza kwa kueleza kuwa anatoa taarifa kuhusu Mlawa kwa ajili ya kutikia wito wa Jasusi kwa jamii kwamba kila mwenye taarifa za haramia hiyo aziw…


