Taarifa Za Didier Mlawa Zaanza Kumininika. Ilikuwa Aingie Kitengo Mwaka 2000, Vetting Ikagoma Baada Ya Kugundulika Alikuwa Anatapeli Watu Akidai Yeye Usalama, Anadaiwa Na Houseboy Hajamlipa Hadi Leo
Majuzi niliweka rai kwa wanaomjua Didier Abdallah Mlawa aka Kigogo wawasilishe taarifa zake. Nafarijika kueleza kuwa taarifa zimeanza kumiminika. Kwa kuanzia ni taarifa hii niliyoipata jana usiku.
Mtoa taarifa alianza kwa kueleza kuwa anatoa taarifa kuhusu Mlawa kwa ajili ya kutikia wito wa Jasusi kwa jamii kwamba kila mwenye taarifa za haramia hiyo aziw…