
Kabla ya kuingia kwenye mada ya wiki hii naomba kwa masikitiko makubwa kutanabaisha kuwa hili litakuwa toleo la mwisho la #BaruaYaChahali kwa wadau mlioamua kutokuwa wanachama.
Ningetamani sana kuwatumikia nyote lakini ni muhimu nijitendee haki mie mwenyewe pia, kwa kuwekeza nguvu zangu kuwatumia wale tu wenye nia ya dhati ya kutumikiwa nami.
Japo idadi…

