Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi Wa Kiintelijensia: Tundu Lissu Akana Uhaini, Awataja Rais Samia, Makamu Dkt Mpango na Waziri Mkuu Majaliwa Kuwa Mashahidi Wake Wakuu

Uchambuzi Wa Kiintelijensia: Tundu Lissu Akana Uhaini, Awataja Rais Samia, Makamu Dkt Mpango na Waziri Mkuu Majaliwa Kuwa Mashahidi Wake Wakuu

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Aug 19, 2025
∙ Paid

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi Wa Kiintelijensia: Tundu Lissu Akana Uhaini, Awataja Rais Samia, Makamu Dkt Mpango na Waziri Mkuu Majaliwa Kuwa Mashahidi Wake Wakuu
Share

📝 Muhtasari

Katika kishindo cha kihistoria mahakamani jana, tarehe 18 Agosti 2025, Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Tundu Lissu amewataja Rais Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuwa ndio mashahidi wake katika kesi ya uhaini inayomkabili. Hatua hii isiyo na mfano imetikisa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo Lissu amekabiliana moja kwa moja na serikali inayomshtaki, akitaka ithibitishe madai yake chini ya kiapo.

⚖️ Mchakato wa Kesi: Ufafanuzi wa Kina

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share