Kwanza naomba nitanabaishe kuwa hii ni mara ya kwanza kwa zaidi ya miaka 7 kwa mie kuipongeza CCM. Naamini watu wengi wanaonifahamu wanaelewa bayana msimamo wangu kuhusu chama hicho.
Kwahiyo, kabla msomaji hujaanza kuhisi “Jasusi kanunuliwa” au “Jasusi anataka u-DC” (japo u-DC sio dhambi), ieleweke kuwa Jasusi ni mzalendo anayekosoa panapostahili na kup…



