Barua Ya Chahali

Share this post
Sintofahamu kuhusu kipi kianze kati ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi yaendelea, Chadema wadai "Zitto ameafikiana nao kuanza na katiba badala ya tume huru", yeye ang'aka
www.baruayachahali.com

Sintofahamu kuhusu kipi kianze kati ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi yaendelea, Chadema wadai "Zitto ameafikiana nao kuanza na katiba badala ya tume huru", yeye ang'aka

Evarist Chahali
Mar 17, 2022
1
Share this post
Sintofahamu kuhusu kipi kianze kati ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi yaendelea, Chadema wadai "Zitto ameafikiana nao kuanza na katiba badala ya tume huru", yeye ang'aka
www.baruayachahali.com

Mada inayotawala mijadala ya vyama vikuu vya upinzani nchini Tanzania, Chadema na ACT-Wazalendo, ni suala la katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

Kwa kifupi, msimamo wa Chadema ni kuanza na kudai katiba mpya kisha ndio ufuate mchakato wa kupata tume huru ya uchaguzi. Kwa upande wao, ACT-Wazalendo wanataka tume huru kwanza.

Makala hii fupi haitogusia saba…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing