Barua Ya Chahali

Share this post

Siasa "zilivyopora" uchaguzi wa TLS ni kiashiria cha jinsi taaluma ya uanasheria inavyofeli katika utumishi kwa Watanzania hususan "wasio na vyama."

www.baruayachahali.com

Siasa "zilivyopora" uchaguzi wa TLS ni kiashiria cha jinsi taaluma ya uanasheria inavyofeli katika utumishi kwa Watanzania hususan "wasio na vyama."

Evarist Chahali
May 24, 2022
5
Share this post

Siasa "zilivyopora" uchaguzi wa TLS ni kiashiria cha jinsi taaluma ya uanasheria inavyofeli katika utumishi kwa Watanzania hususan "wasio na vyama."

www.baruayachahali.com

Moja ya taaluma ambazo Jasusi alikuwa anaziheshimu sana kwa Tanzania ni uanasheria. Na heshima hiyo ilianzia chuo kikuu cha Dar es Salaam ambako Jasusi alisomea shahada yake ya kwanza.

Read Barua Ya Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Pale UDSM, wanafunzi wa sheria walikuwa na “mwonekano” tofauti na sie wanafunzi wengine. Kimsingi hata jengo la kitivo chao lilikuwa na mwonekano tofauti.

Wakati chuoni pa…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing