Barua Ya Chahali

Share this post

Shirika la Ndege la KLM laahirisha baadhi ya safari zake likidai uwepo wa tishio la kiusalama Dar, lashutumiwa kwamba linazusha taharuki

www.baruayachahali.com

Shirika la Ndege la KLM laahirisha baadhi ya safari zake likidai uwepo wa tishio la kiusalama Dar, lashutumiwa kwamba linazusha taharuki

Evarist Chahali
Jan 28
1
Share this post

Shirika la Ndege la KLM laahirisha baadhi ya safari zake likidai uwepo wa tishio la kiusalama Dar, lashutumiwa kwamba linazusha taharuki

www.baruayachahali.com
KLM and Emirates to resume operations in Tanzania

Shirika la Ndege la KLM la Uholanzi jana lilitangaza kusitisha baadhi ya safari zake kufuatia kilichoelezwa kuwa ni “uwepo wa tishio la kiusalama” jijini Dar es Salaam.

Wakati habari hizo zilipelekea shutuma kutoka kwa baadhi ya watu waliodai kuwa “hakuna tishio lolote Dar,” ripoti za kiintelijensia zinaeleza kuwa kuna uhusiano kati ya hatua hiyo ya KLM na tahadhari iliyotolewa juzi na Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania.

Barua Ya Chahali
#BreakingNews: Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania watoa tahadhari ya tishio la ugaidi jijini Dar
Read more
2 months ago · Evarist Chahali

Je matukio hayo mawili yana ukweli au ni hujuma tu kama wanavyodai baadhi ya wananchi nchini Tanzania?

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing