Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Samahani endapo makala hii itamkwaza mtu yeyote lakini ukweli shurti usemwe: kila atendaye maovu akumbuke pia kuwa kila nafsi itaonja mauti
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Samahani endapo makala hii itamkwaza mtu yeyote lakini ukweli shurti usemwe: kila atendaye maovu akumbuke pia kuwa kila nafsi itaonja mauti

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
May 15, 2023
∙ Paid
1

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Samahani endapo makala hii itamkwaza mtu yeyote lakini ukweli shurti usemwe: kila atendaye maovu akumbuke pia kuwa kila nafsi itaonja mauti
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share

Kwa mujibu wa mila na desturi zetu, “marehemu hasemwi vibaya.” Haifahamiki vizuri asili ya mila/desturi hiyo, lakini imekuwa kinga maarufu dhidi ya matendo mabaya yaliyofanywa na wenzetu kabla hawajatangulia mbele za haki.

Pengine sababu ya kukataza “kumsema vibaya marehemu” ni kuchelea kuwakwaza wafiwa. Lakini pia pengine ni kuzingatia ukweli kwamba “marehemu hawezi kujitetea” endapo anasingiziwa tu kuhusu ubaya anaodaiwa kuufanya wakati wa uhai wake.

Makala hii inaongelea misiba miwili mikubwa iliyojiri wiki iliyopita, ule wa majuzi wa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje, marehemu Bernard Membe, na huu wa jana wa bloga maarufu, marehemu William Malecela.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More