Sam Altman, mkuu wa kampuni ya akili mnemba (artificial intelligence) ya OpenAI, amefukuzwa na bodi ya kampuni hiyo, ambayo ilisema imepoteza imani na uwezo wake wa kuiongoza kampuni hiyo.
Bodi hiyo ilisema Bw Altman hakuwa "mkweli mara kwa mara na mawasiliano yake", na kuzuia uwezo wake wa kutekeleza majukumu yake.
Mtengenezaji wa Boti ya ChatGPT, OpenAI…



