Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Maisha

Safu ya #MAISHA [Episode 7]: Mfahamu Julitha Singano, Mtanzania anayepeperusha bendera yetu Mexico katika soka la wanawake, ni beki wa Fc Juárez Femenil, awali alikuwa Simba Queens, yupo timu ya taifa

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Sep 10, 2023
∙ Paid
1
Share
Read Barua Ya Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Soka la wanawake limepata mwamko mkubwa katika miaka ya hivi karibuni na majuzi tu, dunia imeshuhudia michuano ya kombe la dunia la soka la wanawake, ambayo iligusa hisia za watu wengi duniani.

Na Tanzania haipo nyuma katika soka la wanawake hasa kutokana na miamba miwili ya soka nchini humo, Simba na Yanga, zote kuwa na timu za wanawake, Simba Queens na…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture