Safu ya #BurudaniNaMichezo: Diddy atuhumiwa na mpenzi wake wa zamani Cassie kwa ubakaji, Will Smith atuhumiwa kuingiliwa kimwili na msanii mwenzie
Sean Combs, mtayarishaji na nguli wa muziki ambaye amekuwa mmoja wa majina maarufu zaidi katika hip-hop kwa miongo kadhaa, ameshtakiwa mahakamani jana na Cassie, mpenzi wake wa zamani na mwimbaji wa R&B aliyewahi kusainiwa na lebo ya Bad Boy inayomilikiwa na Diddy.
Cassie ameshtaki Diddy kwa ubakaji , na kunyanyaswa kimwili mara kwa mara kwa takriban muo…