Safu ya AFYA: Fahamu kuhusu kipandauso (migraine) - chanzo, dalili, tiba na jinsi ya kujikinga
Kipandauso (migraine) huweza kusababisha kichwa kugonga kikiambatana na maumivu makali. Mara nyingi ikiwa ni upande mmoja wa kichwa. Mara nyingi kipandauso huambatana na kichefuchefu, kutapika, ganzi, na hali ya juu ya kutopenda mwanga au sauti. Kipandauso hudumu kwa saa kadhaa au siku kadhaa, na maumivu huweza kuwa makali hivi kwamba ukashindwa kuendel…