Sababu Iliyopelekea Mabendera Lugola Kutimuliwa na Jiwe
Yaleyale Ya "Ushirika Wa Wachawi Haudumu."

Moja ya makosa ya kudumu ya Rais mstaafu Jakaya Kikwete ni mawili. La kwanza ni jinsi alivyowezesha nafasi ya urais kuwa RAHISI. Kwamba every Tom, Dick and Harry could actually become a president of the United Republic of Tanzania.
Na kuna dhana kwamba Kikwete alijibdiisha sana kutafuta mrithi ambaye atasababisha akili za Watanzania zielekezwe kwa mtu h…