Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Simulizi za Jasusi

Rwanda: huku kukiwa na tetesi za mapinduzi, Rais Kagame awatimua jeshini zaidi ya wanajeshi 200 ikiwa ni pamoja na mkuu wa zamani wa ushushushu nchini humo

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jun 08, 2023
∙ Paid
Brigedia Jenerali Mutiganda, mkuu wa zamani wa Idara ya Ujasusi ya Rwanda ni miongoni mwa maafisa wa jeshi la nchi hiyo waliotimuliwa jeshini na Rais Kagame

Rais Paul Kagame amewatimua zaidi ya wanajeshi 200 kutoka jeshi la nchi hiyo, miongoni mwao wakiwa maafisa 14.

Hatua hiyo imekuja siku moja tu baada ya Rais Kagame kufanya mabadiliko makubwa katika taasisi za usalama na ulinzi nchini humo.

Mpango wa mapinduzi

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2026 Evarist Chahali · Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start your SubstackGet the app
Substack is the home for great culture