Barua Ya Chahali

Share this post

Rostam vs Membe, Na Jinsi Jiwe Anavyojikaanga Kwa Mafuta Yake Mwenyewe

www.baruayachahali.com

Rostam vs Membe, Na Jinsi Jiwe Anavyojikaanga Kwa Mafuta Yake Mwenyewe

Jicho La Kishushushu Kuhusu Yanayojiri Chini Ya Kapeti la Siasa za Urais 2020

Evarist Chahali
May 22, 2019
35
Share this post

Rostam vs Membe, Na Jinsi Jiwe Anavyojikaanga Kwa Mafuta Yake Mwenyewe

www.baruayachahali.com

Kwanza, naomba samahani kwa kuchelewa kukuletea toleo la wiki hii la #BaruaYaChahali. Natumaini uliipokea kunradhi yangu niliyokutumia juzi.

Mada ya wiki hii ni siasa, lakini ni fupi tu. Inalenga kukusaidia kuelewa "yanayojiri nyuma ya pazia" kwenye duru za siasa za Tanzania.

Natumaini kuwa ulimsikia mfanyabiashara tajiri mkubwa, Rostam Aziz, "swahiba…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing