
Kwanza, naomba samahani kwa kuchelewa kukuletea toleo la wiki hii la #BaruaYaChahali. Natumaini uliipokea kunradhi yangu niliyokutumia juzi.
Mada ya wiki hii ni siasa, lakini ni fupi tu. Inalenga kukusaidia kuelewa "yanayojiri nyuma ya pazia" kwenye duru za siasa za Tanzania.
Natumaini kuwa ulimsikia mfanyabiashara tajiri mkubwa, Rostam Aziz, "swahiba…

