Rostam Aziz aeleza jinsi wawekezaji uchwara wanavyoongeza umasikini Tanzania, ataja Wachina wanaouza simu mtaani, wamwaga mashine za kamari vijijini kula mapato ya wanavijiji
www.baruayachahali.com
Read Barua Ya Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android
Mfanyabiashara maarufu, bilionea Rostam Aziz ameeleza kwa kirefu masikitiko yake jinsi wawezekezaji uchwara wanavyoongeza umasikini nchini Tanzania hususan maeneo ya vijijini.