Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Ripoti ya kiintelijensia kuhusu sababu iliyopelekea mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri hapo jana wakati mabadiliko mengine yapo njiani
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Ripoti ya kiintelijensia kuhusu sababu iliyopelekea mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri hapo jana wakati mabadiliko mengine yapo njiani

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Apr 02, 2023
∙ Paid
5

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Ripoti ya kiintelijensia kuhusu sababu iliyopelekea mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri hapo jana wakati mabadiliko mengine yapo njiani
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share

Jana April 1, 2023, Rais Samia Suluhu alifanya mabadiliko madogo kwenye kabineti yake.

Image

Japo mabadiliko hayo yalipotangazwa hayakuonekana kugusa hisia za watu wengi, kuna baadhi waliohoji “kulikoni” hasa ikizingatiwa kuwa mawaziri husika hawajakaa muda wa kutosha kwenye wizara husika.

Ripoti hii ya kiintelijensia inatanabaisha kuwa mabadiliko hayo yametokana na sababu moja ambayo hata hivyo ina uwezekano wa kupelekea mabadiliko mengine huko mbeleni.

Kadhalika ripoti inaelekeza kuhusu mabadiliko mengine ya kabineti ya Rais Samia ambayo “yapo njiani”.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More