Pande Mbili Za Lissu Kuvuliwa Ubunge
Kilichotokea Ni Mwendelezo Tu Wa Azma Ya Magufuli Kuua Upinzani, Kutawala Milele
![](https://substackcdn.com/image/fetch/w_1456,c_limit,f_auto,q_auto:good,fl_progressive:steep/https%3A%2F%2Fbucketeer-e05bbc84-baa3-437e-9518-adb32be77984.s3.amazonaws.com%2Fpublic%2Fimages%2Ffb8ddf12-193d-4fa5-9609-1344574de502_733x276.png)
Kabla sijaingia kwenye mada hii, ninaomba kutoa shukrani zangu za dhati kwa nyote mliojiunga kuwa wanachama wa #BaruaYaChahali ambayo sasa ni mkusanyiko wa vijarida vitano kwa wiki.
Mmewezesha #BaruaYaChahali kuweka historia kuwa chapisho la kwanza kabisa la Mtanzania lenye paid subscription (uanachama wa kulipia, japo sipendi neno “kulipia” kwa sababu m…