Ndugu Zangu Madaktari Mmewasaliti Watanzania, Lakini Nao Wamejisaliti Pia
www.baruayachahali.com
Jana nilikutana na tamko la chama cha madaktari Tanzania (MAT) iliyokuwa inafanya siasa kwenye janga la UVIKO-19 (Ugonjwa wa Virusi vya Korona vya mwaka 2019) badala ya kuzingatia utaalam.