
Mtu mmoja alinitwiti majuzi akidai “siaminiki” kwa sababu “nilibashiri korona itamwondoa Magufuli” lakini kwa mujibu ya mtu huyo “si kweli.”
Mtu huyu alikuwa anaongelea ubashiri niliofanya kwenye “Uchambuzi wa Kiintelijensia Kuhusu Mustakabali wa Urais wa Magufuli Kutokana na Jinsi Alivyoshughulikia Janga la Korona.”

