Barua Ya Chahali

Share this post

Musiba ni MBWA tu. Mwenye MBWA huyo ni Magufuli

www.baruayachahali.com

Musiba ni MBWA tu. Mwenye MBWA huyo ni Magufuli

Vyovyote Itakavyokuwa, Mwisho Wao Wote Wawil Hautokuwa Mzuri

Evarist Chahali
Apr 23, 2019
32
Share this post

Musiba ni MBWA tu. Mwenye MBWA huyo ni Magufuli

www.baruayachahali.com

Natumiani nyote mlikuwa na Pasaka njema. Sikuwatumia #BaruaYaChahali jana kwa sababu ilikuwa Jumatatu ya Pasaka na sikutaka kuwasumbua.

Leo tunatupia jicho tena masuala ya siasa, japo kama nilivyoeleza katika matoleo mawili yaliyopita, nitaendelea kuwaletea mada nyingine licha ya siasa kila itapobidi.

Mwishoni mwa wiki iliyopita, kama kawaida yake ‘toile…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing