Musiba ni MBWA tu. Mwenye MBWA huyo ni Magufuli
Vyovyote Itakavyokuwa, Mwisho Wao Wote Wawil Hautokuwa Mzuri

Natumiani nyote mlikuwa na Pasaka njema. Sikuwatumia #BaruaYaChahali jana kwa sababu ilikuwa Jumatatu ya Pasaka na sikutaka kuwasumbua.
Leo tunatupia jicho tena masuala ya siasa, japo kama nilivyoeleza katika matoleo mawili yaliyopita, nitaendelea kuwaletea mada nyingine licha ya siasa kila itapobidi.
Mwishoni mwa wiki iliyopita, kama kawaida yake ‘toile…