Mtume Aliyesababisha Vifo 20 Hakukamatwa. Kwanini Serikali ya Magufuli Inawaongopea Kuwa Alikamatwa Na Sasa Kapewa Dhamana?
Nchi Inaendeshwa Kama Kampuni ya Genge la Kihalifu

Tangu mwanzo wa tukio la vifo 20 (bado naambiwa kuwa idadi ya waliofariki ni kubwa zaidi) hisia yangu ya sita ilikuwa inaniambia “hapo kuna namna.”
Kwenye ushushushu inasisitizwa kutoamini COINCIDENCE (matukio mawili au zaidi yanayotokea kwa wakati mmoja au mfululizo). Ukweli kwamba tukio la vifo hivyo huko Moshi lilijiri masaa machache tu baada ya Mare…