Niwe mkweli. Nimeshatanabaisha mara kadhaa kuwa namuunga mkono Mama Samia. Kwa sababu mbalimbali. Kubwa zaidi ni ukweli kwamba kufanikiwa kwake ni kufanikiwa kwetu sote. Na baadhi yetu tumechoka kuiona Tanzania yetu ikisuasua badala ya kuwepo mahali inapostahili. Naamini kwa dhati kuwa tukimpa sapoti ya kutosha, Mama Samia anaweza kutufikisha kwenye Tan…
Substack is the home for great culture


