Kuna jamaa yangu mmoja alinitumia ujumbe majuzi kunipongeza kuwa napaswa nijivunie jitihada zangu kwenye sekta ya intelijensia hususan kutupia jicho habari/matishio ya ugaidi.
Nilimshukuru lakini nilikataa pongezi hizo kwa sababu moja kuu. Hupaswi kujivunia kuwa mzalendo, kwa sababu uzalendo sio sifa bali wajibu. Kama ambavyo hatujivuni tunapokula, kwa s…


