Mheshimiwa @zittokabwe aongelea muswada wa marekebisho ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa, amtaka Spika Tulia kuruhusu mjadala mpana, apendekeza kuanzishwa chombo maalum cha ujasusi
Taarifa ya Mheshimiwa Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama, ACT-Wazalendo
Leo nimezungumza na Wananchi wa Songea Mjini kuhusu Muswada wa Sheria ya Usalama wa Taifa. Nimemtaka Spika wa Bunge @TuliaAckson aruhusu mjadala mpana…