Mtumishi wako Evarist anakuomba uungane nae kwa kutoa chochote kile japo kidogo kuwezesha Mchungaji SHANIEL SOSOA Asifungwe Miaka Mitatu jela endapo atashindwa kulipa faini ya SHILINGI MILIONI TANO.
Mtumishi huyo wa Mungu amehukumiwa adhabu hiyo baada ya mahakama kumtia hatiani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kosa la kumyanyasa Rais Samia Suluhu mtandaoni …


