Mashujaa wa GEN-Z TANZANIA Waliowezesha NO REFORMS NO ELECTION Waibuka na USHINDI Mnono: Wasababisha BASHITE Akose Uwaziri Mkuu
Moja ya mafanikio makubwa kabisa ya maandamano ya Gen-Z wa Tanzania yaliyofanyika kuanzia Oktoba 29, 2025 ni kuwezesha ajenda ya NO REFORMS NO ELECTION kutimia.
Japo awali ajenda hiyo ilianzishwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), baadaye vijana wa Gen-Z waliichukua na kuiingiza kuwa moja ya ajenda zao kwa ajili ya maandamano waliyopanga kuy…


