Kama unafuatilia twiti zangu basi bila shaka umeshakumbana na twiti zangu kadhaa zinazotaja “Kanuni ya FBI.” Kwa kifupi kanuni hiyo isiyo rasmi inasema hivi “FBI (Shirika la Ushushusu wa ndani nchini Marekani) hawakuulizi kama unajua kitu flani endapo hawana uhakika kuwa tayari unajua kuhusu hicho wanachokuuliza.”
Huwa natumia msemo huo ninapowasilisha …


