Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Makonda "Kikaangoni" Baada ya Nape Kurudishiwa Uwaziri wa Habari na Ridhiwani Kuteuliwa Naibu Waziri
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Makonda "Kikaangoni" Baada ya Nape Kurudishiwa Uwaziri wa Habari na Ridhiwani Kuteuliwa Naibu Waziri

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jan 10, 2022
∙ Paid
12

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Makonda "Kikaangoni" Baada ya Nape Kurudishiwa Uwaziri wa Habari na Ridhiwani Kuteuliwa Naibu Waziri
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share

Mustakabali wa Paul Makonda, mkuu wa zamani wa Mkoa wa Dar es Salaam, ni tete kufuatia wanasiasa wawili aliowanyanyasa wakati akiwa madarakani, Nape Nnauye na Ridhiwani Kikwete kuingizwa kwenye kabineti ya Mama Samia katika mabadiliko yaliyotangazwa Jumamosi.

Nape ameteuliwa kuwa Waziri mpya wa Habari, Mawasiliano na TEHAMA, ilhali Ridhiwani amepewa Unaibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Lakini hata kabla ya teuzi hizo, kulikuwa na jaribio la kumfungulia kesi Makonda kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka yake, kufuatia uvamizi aliofanya kwenye kituo cha habari cha Clouds jijini Dar es Salaam, saa 4 unusu usiku, Machi 17, 2017

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More