Makamanda Wanaume Chadema Mmeaibisha. Umahiri Wenu Ni Kujimwambafai Tu Na ID Feki Mtandaoni, Lakini Kudai Haki Mnawasusia BAWACHA Peke Yao 🙄
Ni wazi kwamba licha ya kelele zote mtandaoni, hadi kufikia hatua ya kumtisha Mama Samia kwamba “atanyolewa na wembe uliotumika kumnyoa Magufuli.”