Barua Ya Chahali

Share this post
Makala Ya Wazi: Yanayoendelea Sakata La Kinana,Makamba vs Musiba
www.baruayachahali.com

Makala Ya Wazi: Yanayoendelea Sakata La Kinana,Makamba vs Musiba

Filamu Bado Yaendelea Nami Mtumishi Wako Naifuatilia Kwa Karibu

Evarist Chahali
Jul 17, 2019
4
Share this post
Makala Ya Wazi: Yanayoendelea Sakata La Kinana,Makamba vs Musiba
www.baruayachahali.com

Kwanza niwafahamishe wanachama wa #BaruaYaChahali kuwa toleo la saba la kijarida cha #ChahaliNaTeknolojia tayari limewasili kwenye inobx zenu. Na katika azma yangu ya kuwaletea kozi ya “udukuzi wa kimaadili” (Ethical Hacking), nimewapatia nakala ya bure ya kitabu hiki muhimu.

Kitabu hiki kitawaandaa kabla ya ujio wa kozi hiyo muhimu kwenye wanachama.

Tukiachana na hilo, mtumishi wako bila kubagua kati ya wanachama na wasio wanachama nakuletea makala hii ya wazi ya mwendelezo wa sakata la kati ya makatibu wakuu wa zamani wa CCM Yusuph Makamba na Abdulrahman Kinana vs msema ovyo Musiba.

Twitter avatar for @ChahaliEvarist Chahali @Chahali
Hawa wazee ni wanajeshi wastaafu. Mzee Makamba alikuwa Luteni na Kinana Kanali. Sasa muulize mtu yeyote aliyepitia jeshini atakwambia kuwa "hakuna askari anayetoka mafichoni na kufanya jambo hadharani kama hajajipanga. Hawa wana brigedi kama si divisheni nzima nyuma yao."
Image

July 16th 2019

14 Retweets52 Likes

Soma waraka huu ambao ni jibu la Spika Mstaafu Pius Msekwa ambaye ni Katibu wa Baraza la Ushauri la Viongozi Wakuu Wastaafu wa CCM.

Twitter avatar for @ChahaliEvarist Chahali @Chahali
Barua Ya Msekwa Kwa Kinana Na Makamba on Scribd: @Scribd ReadMore
Barua Ya Msekwa Kwa Kinana Na MakambaBarua Ya Msekwa Kwa Kinana Na Makambascribd.com

July 17th 2019

Alichofanywa ni kukwepa lawama kidiplomasia.

Nimalizie kijarida kwa kuwakaribisha nyote ambao hamjajiunga na uanachama wa #BaruaYaChahali. Endapo unajiskia kufanya hivyo, maelezo ni kama ifuatavyo

Uanachama kwa mwaka mzima ni sh100,00 au sh 10,000 kwa mwezi. Tuma mchango wako kwa m-pesa namba 0767632516 (jina Khadija Katule). Kwa walio nje ya Tanzania, unaweza kuchangia kwa KUBONYEZA HAPA.

Endapo unataka kujiondoa kwenye orodha ya wanaotumiwa #BaruaYaChahali BONYEZA HAPA.

Ndimi mtumishi wako,

Evarist Chahali

Comment
Share
Share this post
Makala Ya Wazi: Yanayoendelea Sakata La Kinana,Makamba vs Musiba
www.baruayachahali.com

Create your profile

0 subscriptions will be displayed on your profile (edit)

Skip for now

Only paid subscribers can comment on this post

Already a paid subscriber? Sign in

Check your email

For your security, we need to re-authenticate you.

Click the link we sent to , or click here to sign in.

TopNewCommunity

No posts

Ready for more?

© 2022 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Publish on Substack Get the app
Substack is the home for great writing