Makala Ya Wazi: Ni Vigumu Kuwa Mzalendo Katika Tanzania Yetu
Vipaumbele Vya Watanzania Wengi Vipo Kwingineko

Hii ni makala ya wazi ambayo inatumwa kwa wanachama wa #BaruaYaChahali na wasio wanachama. Ndo maana inaitwa “ya wazi.” Lengo si kuwapunja waliolipia uanachama bali hii ni kama “happy hour” kwenye pub 😎
Kuna matukio mawili. La kwanza limetokea siku kadhaa zilizopita ambapo mtu mmoja mwenye uelewa wa ndani kuhusu siasa za Tanzania alinielezea kwa kina ku…