Makala Ya Wazi: Majonzi Morogoro Na Tafakuri

Kabla ya kuingia kwenye mada katika makala hii ya wazi nina ombi: kama wewe ni afisa mwandamizi wa Jeshi la Polisi naomba tuwasiliane (kama unaniamini). BONYEZA HAPA kuwasiliana nami. Thanks in advance.
Twende kwenye mada husika. Wiki iliyopita ilimalizika kwa majonzi makubwa kufuatia ajali mbaya ya moto uliotokana na mlipuko wa gari la kubebea mafuta. T…