Barua Ya Chahali

Share this post
Makala Ya Wazi: Kuchanganya Dini Na Siasa Kutaligharimu Taifa
www.baruayachahali.com

Makala Ya Wazi: Kuchanganya Dini Na Siasa Kutaligharimu Taifa

Evarist Chahali
Nov 18, 2019
3
Share this post
Makala Ya Wazi: Kuchanganya Dini Na Siasa Kutaligharimu Taifa
www.baruayachahali.com
Twitter avatar for @ChahaliEvarist Chahali @Chahali
1/2 Kuchanganya dini na siasa: kwa minajili ya kumbukumbu
Image

November 18th 2019

Twitter avatar for @ChahaliEvarist Chahali @Chahali
2/2 Kuchanganya dini na siasa: kwa minajili ya kumbukumbu
Image

November 18th 2019

1 Like
Twitter avatar for @ngurumoAnsbert Ngurumo @ngurumo
Mwaka jana makanisa yalipotoa nyaraka za kichungaji kuhimiza haki, JPM aliwashughulikia baadhi yao hadi Katibu Mkuu TEC akanyanganywa pasipoti, wakateua mwingine. JPM alimwambia mtu mmoja: "Hakuna cha Rais wa TEC wala nini. Nataka watambue kuwa kuna rais mmoja." Sasa wametambua!
Image

November 18th 2019

9 Retweets84 Likes
Twitter avatar for @ChahaliEvarist Chahali @Chahali
"... kuna mkutano mkubwa kati ya Bashite na viongozi wa dini ambapo viongozi hao watakabidhiwa jukumu la kushawishi waumini wao washiriki uchaguzi wa serikali za mitaa... viongozi kadhaa wa dini wameshapewa fedha..." If this is true, nachelea athari za kumix dini na siasa.

November 17th 2019

8 Retweets76 Likes

Profesa mmoja wa sayansi ya siasa aliandika chapisho muhimu kuhusu Tanzania, ambapo pamoja na mambo mengine alieleza upekee wa nchi yetu kuwa yenye amani kubwa licha ya kuwa na takriban recipes nyingi za kufanya taifa liwe kwenye conflict.

Moja na ya recipes hizo ni tofauti kubwa ya kipato sio tu kati wenye nacho na wasio nacho bali pia kati ya dini kuu nchini Tanzania, yaani Wakristo na Waislamu.

Tofauti hiyo imechangiwa pia na “ukosefu wa usawa” kielimu na ajira kati ya dini hizo mbili.

Na kwa vile licha ya mchango wao mkubwa kwenye mapambano ya kudai uhuru kutoka kwa mkoloni, Waislamu wengi Tanzania wamekuwa na hisia za mfumo unaowabagua katika nyanja za elimu na ajira, manung’uniko yaliyoanza kujitokeza waziwazi baada ya serikali “kuianzisha” BAKWATA baada ya “kuifukuza” EAMWS in 1960s yameendelea kuwepo hadi sasa. Mbinu inayotumika kuyazima manung’uniko hayo ni kudhibiti mjadala wowote kuhusu hilo, sambamba na kile kinachotafsiriwa na baadhi ya Waislamu kuwa BAKWATA ni tawi la CCM/Serikali.

Kwahiyo, manung’uniko ya kundi moja kubwa la kidini + pengo kubwa kati ya wenye nacho na wasio nacho, jumlisha na factors kama massive youth unemployment, bila kusahau jitahidi endelevu za “kumwaga sumu kwenye kisuma” kwa kuendeleza siasa za chuki, ni dhahiri kuwa kuna mtu aidha amechoka kuiona Tanzania ikiendelea kuwa na amani au ni wakala wa nchi ya kigeni inayotamani kuiona Tanzania ikiteketea.

Goes like this, leo viongozi wa makanisa na misikiti wakifanikiwa kutumika kuwabagua wafuasi wa vyama vya upinzani basi si ajabu kesho wakijituma kubaguana kati ya Wakristo na Waislamu. Kama alivyotuusia Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kuhusu ubaguzi

Twitter avatar for @JuliusKNyerereMwl Julius K.Nyerere @JuliusKNyerere
Dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana, sawa na kula nyama ya mtu,dhambi ya ubaguzi haiishi inaendelea tu

July 22nd 2012

4 Retweets2 Likes

Unadhani nini kifanyike kukabiliana na haya yanayoendelea? Niandikie HAPA

Ndimi mtumishi wako,

Evarist Chahali

Comment
Share
Share this post
Makala Ya Wazi: Kuchanganya Dini Na Siasa Kutaligharimu Taifa
www.baruayachahali.com

Create your profile

0 subscriptions will be displayed on your profile (edit)

Skip for now

Only paid subscribers can comment on this post

Already a paid subscriber? Sign in

Check your email

For your security, we need to re-authenticate you.

Click the link we sent to , or click here to sign in.

TopNewCommunity

No posts

Ready for more?

© 2022 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Publish on Substack Get the app
Substack is the home for great writing