Makala Ya Wazi: Kijarida Cha #MtuHatari

Mie mtumishi wako nafahamu fika kuwa kuna watu wengi tu wasiopendezwa na matangazo mbalimbali ninayowatumia. Na ndio maana kila ninapowatumia matangazo huwa nawaomba radhi, hasa kwa vile ukurasa huu ni wenu na mie ni mtumishi wenu tu.
Kabla ya kuingia kwenye makala ya wazi ya kijarida cha #MtuHatari kinachotumwa kila Jumapili kwa wanachama wa vijarida vy…