Makala Ya Wazi: Jiwe na Kabudi Wameuza Nchi Kwa Barrick?
Waraka huu wa Zitto unaibua maswali magumu

MAKUBALIANO YA SERIKALI NA BARRICK GOLD CHANGA LA MACHO
Jana, Julai 19, 2019 Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Barrick Gold Corporation imetoa Taarifa kwa Umma ya kuinunua Kampuni yake tanzu ya Acacia Mining Plc kwa jumla ya Dola za Marekani Milioni 428. Baada ya malumbano ya takribani miezi 5 Barrick na Acacia wamekubaliana juu ya thamani ya Kampuni ya Aca…