Makala Ya Wazi: Jitihada Mpya Za Kuondoa Ukomo Wa Urais

Jitihada za kumfanya Jiwe atawale milele zinaendelea. Na sasa zinaanza kuchukua mkondo wa kisheria/kikatiba. Hizi kelele sio za bahati mbaya, na kamwe usihadaiwe na porojo za Jiwe kuwa akimaliza muda wake ataondoka madarakani. He can’t kwa sababu once he does, ataelekea jela on the same day.
Patrick Dezydelius Mgoya, mkazi wa Mbezi Beach jijini Dar es Sa…