Makala Ya Wazi: Jitihada Endelevu Za Kidikteta
Msamawa Wa Jiwe Kwa Watuhumiwa Uhujumu wa Uchumi, Kioja Kuhusu Tishio La Ebola

Leo, Mahakama Kuu ya hapa Uingereza imetoa hukumu dhidi ya hatua ya Waziri Mkuu Boris Johnson "kulipeleka Bunge likizo" hadi Oktoba 14 mwaka huu. Katika hukumu hiyo, Mahakama Kuu chini ya Rais wake Lady Hale imeona kuwa hatua hiyo ya Waziri Mkuu Johnson sio halali.
Katika utetezi wake wakati wa kesi hiyo, mawakili wa serikali walitoa hoja kuwa kesi hiyo …