Kwanza naomba kuwataka radhi wanachama wa #BaruaYaChahali kwa kuchelewa kuwatumia vijarida vya wiki hii. Ninaahidi kutekeleza jukumu hilo mapema iwezekanavyo.
Kwa muda mrefu nimekuwa miongoni mwa watu wanaoihamasisha Chadema kuhusu haja ya kufanya uchaguzi wa viongozi wa chama hicho. Na miongoni mwa hoja zangu ni kwamba Chadema inapaswa “kuishi kulingan…

